u-zone1b

Myzoomafrica

Myzoomafrica
Advertise here!

Tuesday, December 24, 2013

MADAM RITA Asema Wanaume Walim.... Akiwa Mdogo

MADAM RITA ASEMA  WANAUME WALIM.......AKIWA MDOGO
Madam Rita ameamua kuweka wazi baadhi ya mambo  yaliyomsibu akiwa bado msichana .
Hiki ndicho alichokiandika kupitia account yake ya Facebook:


"Jambo mmoja msilofahamu kuhusu mimi....
Nilipata ujauzito nikiwa na umri mdogo sana. Kwa jamii yetu inayotuzunguka, ukizaa katika umri mdogo, watu huwa wanakunyanyapaa, hukuona haufai kuwa katika jamii na hata kukuhukumu. Kwa umri ule niliona ni kama hamna tena maisha kwangu lakini sikukata tamaa na leo hii ujasiri wangu na kitu kinachonipa msukumo wa maisha hadi kufika hapa nilipo ni hicho kilichonikuta nikiwa na umri mdogo
."

"Kukataa tamaa isiwe ndio chaguo lako la kwanza'Alisisitiza Madam Rita.

No comments:

Post a Comment

u-zone3