u-zone1b

Myzoomafrica

Myzoomafrica
Advertise here!

Friday, December 27, 2013

MENINA Agoma Kutoa 'Uroda'

MENINA AGOMA KUTOA URODA

Menina Atick.
MWANAMUZIKI aliyeibukia kwenye Shindano la Epiq Bongo
Star Search mwaka 2012, Menina Atick; amesema licha ya kusikia na kubaini kuwepo kwa baadhi ya wanaume wenye nafasi kwenye ‘game’ la muziki ambao wamekubuhu kuomba rushwa ya ngono kwa wasanii wa kike ili wawatoe, yeye atakomaa na anaamini atasimama. 

Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Menina ambaye sasa anasumbua na wimbo wake wa Shaghala Baghala alisema anachoamini ni kwamba msanii wa kike mwenye kipaji hata asipotoa rushwa ya ngono, nafasi ya kung’ara anayo, hivyo yeye atakuwa mfano kwa wengine.
“Mimi…nitoe rushwa ya ngono ili nitoke, mh…kwa kweli hiyo haiwezekani, najiamini na sitakubali kuutumia mwili wangu kwa kugawa penzi ili nisimame kwenye muziki, kwanza nitatembea na wangapi,” alihoji msanii huyo.

Source: GPL

No comments:

Post a Comment

u-zone3