u-zone1b

Myzoomafrica

Myzoomafrica
Advertise here!

Tuesday, December 10, 2013

SHAA Amkamata MASTER J Kimahaba

SHAA AMKAMATA MASTER J KIMAHABA
http://theclicktz.com/
Akihojiwa katika kipindi cha ng'ari ng'ari, Shaa alisema
," mimi sikuwa sababu ya kuachana kwa wao wawili (master Jay na mama watoto wake),kwani ugomvi au kuachana kwa watu wawili huwa inahusu wao wenyewe wawili ila sio mtu watatu,


na kwakuwa mimi nilikuwa nimetoka kutendwa ilichukua muda kidogo hadi kuja kuwa na mahusiano na Master Jay hata yeye pia aliniambia alikuwa na maumivu yake ndio mana ilichukua muda hadi kuwa na mahusiano. Hivyo kwanini niachie bahati yangu, Nampenda sana Master"

Mtangazaji: Huwa unapika ukiwa nyumbani, ilikumpagawisha mzee

Shaa: Nashukuru sana kwani Master anapenda sana kupika kwakweli  na mara nyingi huwa anapika yeye kuliko mimi, na Inshalah namshukuru sana

No comments:

Post a Comment

u-zone3