u-zone1b

Myzoomafrica

Myzoomafrica
Advertise here!

Tuesday, October 29, 2013

Amini wa THT Ampigia Magoti LINAH

AMINI WA THT AMPIGIA MAGOTI LINAH

Mwimbaji kutoka THT Amini ameelezea pengo liloachwa moyoni mwake na aliyekuwa
mpenzi wake  ‘Linah’, pengo ambalo kwa mujibu wake aliyechukua nafasi hiyo ameshindwa kuliziba.
Mwimbaji huyo ameyatoa yake ya moyoni kupitia mtandao wa Instagram na kuonesha kuwa bado anamhitaji Linah kwa kuwa ndiye mtu aliyekuwa anampa furaha mda wote na kwamba hakuwahi kumkosea.
Amepost picha inayomuonesha akiwa na Linah, na kuandika,
'Wakati kama huu ukifka uwa namuwaza sana uyu wa pembeni kiukweli ni mtu ambae aliweza kunipa furaha akuwahi nikosea alifnya ninachokitka ila nilipo sasa mmmmmh boko miss uuuuu linah kwani nini si nini tu.'

No comments:

Post a Comment

u-zone3