u-zone1b

Myzoomafrica

Myzoomafrica
Advertise here!

Sunday, October 13, 2013

Snura Asema Mauno yake ni 'BALAA'


SNURA wa Majanga ASEMA MAUNO YAKE NI ‘BALAA'


STAA wa Majanga, Snura Antony Mushi ‘Snura’ amesema
kamwe wanaume za watu wasimmendee katika shoo zake kwani hakati mauno ili kuwapata hasa wenye wake.


Akipiga stori na paparazi wetu, Snura alisema kukata mauno kwenye shoo ndiyo silaha yake ya kuwateka mashabiki lakini anashangaa kuona wanaume za watu ndiyo wanaongoza kwa kutuma maombi ya kutongoza. 


“Sipendi kabisa kusikia masuala ya wanaume za watu, siko tayari kuvunja ndoa za watu. Pesa za kuhongwa sioni raha nazo hata kidogo napenda za kujitafutia za kwangu,” alisema Snura.

No comments:

Post a Comment

u-zone3