u-zone1b

Myzoomafrica

Myzoomafrica
Advertise here!

Friday, October 18, 2013

Kumbe Lady Gaga alikua 'BEKI TATU' wa Britney

KUMBE LADY GAGA ALIKUA 'BEKI TATU' WA BRITNEY!?  
 

 Kumbe Lady Gaga kabla ya kuwa maarufu(star) na kushika charts alikua akimuandikia nyimbo Britney Spears na wasanii wengine?..Ndipo baadae
nae akaja na album yake maarufu na yenye mafanikio makubwa The Fame. Akiwa na miaka 19, Lady Gaga aliamua Kuacha Chuo(New York University) na kujikita kwenye mziki full time.  Kweli mafanikio ni safari na sio tukio la siku moja. Success is not an overnight event.
Lady Gaga:
Jina:   Lady Gaga
Tarehe ya kuzaliwa: March 28, 1986
Mahali alipozaliwa : Yonkers, N.Y.

No comments:

Post a Comment

u-zone3