u-zone1b

Myzoomafrica

Myzoomafrica
Advertise here!

Monday, October 14, 2013

Msichana Mrembo alilia WANAUME



MPENZI WANGU HANIRIDHISHI KITANDANI..(Help me plz)

Mimi ni mwanamke mwenye miaka Ishirini na Nne, nina
mpenzi wangu ambaye amenizidi miaka 14, na nina mpenda sana. 

Tatizo ni wakati wa ku-se'x.... Sote tunakuwa na hamu, tunaandaana vizuri then, tunaanza kungonoka lakini bao la kwanza si zaidi ya dakika 1, yuko hoi na usingizi hapo hapo hadi anakoroma. 
Huwa inaniuma saana kwa kweli.
Huwa najitahidi kumshika shika kimahaba huku namwamsha na kumuandaa tena walau aweze kuendelea lakini wapi! Hudai kuwa amechoka.


Pia tukibadili style nikiwa juu yeye chini anarelax yaani ananiacha mie nishugulike mwenyewe. Hadi hamu inaniishia.


Huwa haniridhishi hata kidogo na ananiacha kwenye wakati mgumu. Naomba unishauri nini cha kufanya kwasababu nampenda sana.

1 comment:

  1. kama unampenda basi wewe una kasoro kidogo, kwa sababu umekwisha chukia kwa muda mrefu unatamka maneno yanayofanana na kupiga vijembe huyo mwanaume, au unapiga kelele na yeye hapendelei. lakini pia hujawahi kumsifia hata kwa maandalizi mazuri nakushauri kaanze kumtia moyo uone atakavyo kupichua hadi umtafune kwa meno . habari ndio hiyo

    ReplyDelete

u-zone3